Posts

Showing posts from March 4, 2016

MANENO YANA NGUVU.

                                                                                                                          Naanza kwa kuandika kuwa ; “Nayajua mengi kwa kuwa nimempa kila mtu nafasi ya kuwa mwalimu wangu, kila mtu hunifunza kwa yale atakayo. Huwa naheshimu kauli na mawazo ya wote kwa uzito sawa, LAKINI UELEWA NI JUU YANGU” Jua ya kwamba; “Ulemavu wa fikra tulizonazo juu ya maisha na juu yetu wenyewe huzaa mawazo mpauko yasiyoakisi umuhimu na umaana wa utu wetu na malengo yetu. Kuna muda tunafikiri kuwa watu wa aina fulani ndio wawezao kufanya mambo ya maana na yenye maendeleo kwa wao wenyewe, na sisi kujiweka nyuma kwa miakisio ya ubovu wa uteuzi wa fikra sahihi dhidi ya fikra mtambuka. Tunawaza zaidi kuliko kufikiri juu ya hatima ya uzio wa upeo wetu na malengo yetu. Akili zetu hutuongoza katika mwambao wa kukata tamaa na kutojikubali. Tunahangaikia kuona kuliko kutazama na kuyafanya ya mwisho kuwa ya kwanzo. Sisi ni zao la umakini hafifu wenye kichefuc

The Armor of God

The reality of the great controversy, and that we are in a literal battle with a real enemy   ( Eph. 6:11 ) , is revealed by Paul's use of war imagery in   Ephesians 6:1-24 . Read   Ephesians 6:11-17 . What do these verses tell us about how real, and personal, the battle is? It is not what the various pieces of armor are all about but rather what they represent that counts. Notice that Paul stresses that we need to take   all of the armor , not just selected pieces of it. In so doing we will remain standing   ( Eph. 6:13 ) , a metaphor used in the Bible to describe innocence in judgment   (compare with   Ps. 1:5 ) . In other words, we will be victorious. What holds all the armor in place is the belt, used as a metaphor for the truth   ( Eph. 6:14 ) . So, the truth is what holds all our spiritual defenses in place. Jesus often talked about truth   ( John 1:14 ,  17 ;  4:24 ;  8:32 ;  14:6 ) . The breastplate of righteousness follows   ( Eph. 6:14 ) ; "righteousne