Posts

Showing posts from June 7, 2016

Nyerere Archive

Image
Azimio la Arusha   ni tamko rasmi la kisiasa lilikosudiwa kuongoza   Tanzania   katika njia ya   ujamaa   kadiri ya maelekezo hasa ya   Julius Kambarage Nyerere . Jina la azimio linatokana na   mji   wa   Arusha   lilipitishwa tarehe 26-29 Januari   1967 .Tarehe   5 Februari   1967 Mwalimu Nyerere alilitangaza huko   Dar es Salaam   kama uamuzi wa Watanzania wa kuondoa unyonge   wao. Tamko la Arusha lina sehemu tano:   Itikadi   ya   chama   cha   TANU ;   Siasa   ya ujamaa; Siasa ya   kujitegemea ; Uanachama wa TANU; na Azimio la Arusha. Kiini chake ni hiki: "Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumenyonywa kiasi cha kutosha, tumepuuzwa kiasi cha kutosha. Unyonge wetu ndio uliotufanya tuonewe, tunyonywe na kupuuzwa. Sasa tunataka   mapinduzi , mapinduzi ya kuondoa unyonge ili tusionewe tena, tusinyonywe tena na tusipuuzwe tena". 5 February 1967 The Arusha Declaration Written:  for Tanganyika African National Union by Julius Nyerere, 1967; Transcribed by:   Ayanda