Posts

Showing posts with the label TRUE LOVE IN COURTSHIP AND MARRIAGE

MAMBO YA KUTAMBUA (‘A’ TO ‘Z’) KWA MCHUMBA ANAYETAKIWA KUWA Mwenzi wa maisha

MAMBO YA KUTAMBUA (‘A’ TO ‘Z’) KWA MCHUMBA ANAYETAKIWA KUWA Mwenzi wa maisha Kumekuwapo na changamoto nyingi sana za ndoa na hizo changamoto zimesababishwa na kufanya makosa kwa wanandoa katika suala zima la uchaguzi wa wenzi au wachumba wao katika hatua ya uchumba kabla ya ndoa kuja. Changamoto mojawapo katika ndoa imesababishwa na mitazamo tofauti na utashi binafsi wa watu katika kuingia kwenye ndoa. Kutofahamu umuhimu wa ndoa katika wanadamu kumepelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi sana maana wengi wao wameoana kwa kuangalia vitu, kazi, mali, sura, kipaji, mvuto, umaarufu au chochote kutoka kwa mchumba kama kigezo cha kumvuta na kuiingia katika mahusiano ya uchumba ili kuifikia hatua ya ndoa. Ndoa (kama tasisi) ni takatifu, na Mungu aliruhusu ndoa kwa makusudi matakatifu. Ndoa ya kwanza iliasisiwa na Mungu mwenyewe katika bustani ya edeni kati ya Adamu na Hawa (mume mmoja na mke mmoja). Hivyo basi mchakato mzima wa kumpata mwenzi wa maisha kunahitaji kumshirikisha Mungu il

Support-Nunua Kazi Zangu

Image
Support-Nunua Kazi Zangu FUATA MAELEKEZO YAFUATAYO: 1.      Tembelea: www. Amazon.com 2.      Search/tafuta Jina la mwandishi: Mwl. Frank Philemon 3.       Vitabu vyenye Prime ni Paperback, na Kindle ni digital book 4.      Review  au weka Rating katika vitabu vyenye Prime 5.      Baada ya hatua zote katika ku-support waweza kununua vitabu vyangu online kwa aina zote za vitabu (Paperback na Kindle) Mwl. Frank Philemon ( Naxfra )

KWA WANAWAKE WOTE WALIO KATIKA NDOA

Image
MAFUNDISHO KUTOKA KATIKA KITABU CHA ‘ MITHALI 31:11-31’ KWA WANAWAKE WOTE WALIO KATIKA NDOA Tabia ya mwanada hujengwa au huathiriwa na mambo mawili; mosi ni nitabia aliyorithi kutoka wazazi (yaani Nature) 2.  Ni tabia aliyoipata kutokana na mazingira aliyokulia na kuishi kwayo (yaani Nuture). Tabia ya kurithi kutoka kwa wazazi yaweza athiriwa na  kubadirika kwa sababu ya mazingira anayoishi na kukuli, pamoja na jamii inayomzunguka. Hivyo basi, andiko hili linasehemu na mchango wa kuibadirisha jamii ya kinamama walio katika ndoa zao aidha, kwa muda mrefu au mfupi, na wale wanaotarajia kuingia katika tasisi hiyo ya wanandoa.  Kwa hiyo, wanawake walio katika ndoa kunamambo ya kujifunza mengi yenye kujenga ndani ya kitabu cha tano cha Mithali za Mfalme Sulemani. Ni nukuu ya maneno ya Mfalme Lemueli; Muasia kama alivyofundishwa na mama yake ambayo Sulemani aliyaandika katika kitabu cha Mithali. Mafundisho hayo ni ya msingi kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke aliye katika ndoa. Pitia k