Posts

TANZANIA EDUCATION BLOG: Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ate...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ate... : Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof Joyce Ndalichako akisikiliza  maelezo kuhusu hatua mbalimbali zilizofikiwa katika uje...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Profesa Ndalichako: Wekeni malengo katika utendaji...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Profesa Ndalichako: Wekeni malengo katika utendaji... : Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia  na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amewataka Watumishi wa Wizara hiyo kujiwekea malengo katika uten...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Serikali yatoa zawadi kwa Halmashauri zilizotekele...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Serikali yatoa zawadi kwa Halmashauri zilizotekele... : Serikali kwa kushirikiana na wafadhili wa maendeleo wanatekeleza programu inayojulikana kama Lipa Kulingana na Matokeo ambayo inalenga kut...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufu...

TANZANIA EDUCATION BLOG: Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufu... : Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhe. Eng Stella Manyanya akipokelewa na viongozi wa shule za Msingi Diamond na Olym...

TANZANIA EDUCATION BLOG: JAMHURIYA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARAYA ELIMU NA M...

TANZANIA EDUCATION BLOG: JAMHURIYA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARAYA ELIMU NA M... : JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI   KATAZO LA KUONGEZA ADA KWA SHULE ZISIZO ZA SERI...

GONJWA LA LEO LINALOENEA KWA KASI KWA WATU WENGI

Image
Utangulizi Pamekuwepo na panazidi kuongezeka magonjwa mengi ya ajabubuajabu katika ulimwengu wa sasa tunaouishi katika dhama za mwisho wadunia; hususani ndani ya sayari yetu Dunia. Magonjwa hayo yamekuwa kikwazo na kusababishwa changamoto nyingi sana katika maisha ya mwanadamu. Ukiachana na magonjwa ya kisaikolojia, kiakili, kimwili na mengineyo mengi sana yanayozidi kubainika na kuongezeka siku hadi siku katika kizazi cha ulimwengu wa sasa; lipo gojwa la muda mrefu, ambalolimedumu karine kwa karine. Gonjwa hilo sugu ni kongwe kuliko magonjwa mengine baadhi yaliyoibuka hivi karibuni. Gonjwa hili limekuwa likienea kwa kasi ya ajabu kulingana kubadirika kwa mitindo ya maisha ya mwanadamu. Gonjwa hili linajibainisha katika na hari na dalili zifuatazo:      Kupenda raha na maisha ya bila kutoa jasho,      Kupenda kulala kuliko kujibidisha,      Kukosa moyo wa kujituma,      Kupenda starehe kuliko kujishughulisha,      Kutokujitambua kwa sababu ya kukosa tafakuri, njoz

GONJWA LA LEO LINALOENEA KWA KASI KWA WATU WENGI

Image
Utangulizi Pamekuwepo na panazidi kuongezeka magonjwa mengi ya ajabubuajabu katika ulimwengu wa sasa tunaouishi katika dhama za mwisho wadunia; hususani ndani ya sayari yetu Dunia. Magonjwa hayo yamekuwa kikwazo na kusababishwa changamoto nyingi sana katika maisha ya mwanadamu. Ukiachana na magonjwa ya kisaikolojia, kiakili, kimwili na mengineyo mengi sana yanayozidi kubainika na kuongezeka siku hadi siku katika kizazi cha ulimwengu wa sasa; lipo gojwa la muda mrefu, ambalolimedumu karine kwa karine. Gonjwa hilo sugu ni kongwe kuliko magonjwa mengine baadhi yaliyoibuka hivi karibuni. Gonjwa hili limekuwa likienea kwa kasi ya ajabu kulingana kubadirika kwa mitindo ya maisha ya mwanadamu. Gonjwa hili linajibainisha katika na hari na dalili zifuatazo:      Kupenda raha na maisha ya bila kutoa jasho,      Kupenda kulala kuliko kujibidisha,      Kukosa moyo wa kujituma,      Kupenda starehe kuliko kujishughulisha,      Kutokujitambua kwa sababu ya kukosa tafakuri, njoz