Ubongo wa Mbele



Phineas Gage aliumia vibaya sana tarehe 13 Septembe 1848 wa kati kitu fulani kilipasuka alipokuwa akifanya kazi.  Mlipuko ulikuwa mkubwa kiasi kwamba mtarimbo ulimwingia kichwani karibu na jicho chini yake kidogo; ukaingia ubongoni na kutokeza nje ya fuvu lake na ule mtarimbo ulikwenda kutua mita kadhaa mbele baada ya kutoka kwenye fuvu hilo.  Phineas alipona na akawa na afya tena lakini hakuwa tena Phineas Gage tena.  Mwonekano wote wa mwili ulibadi lika.  Akawa na vitendo vya usumbufu, mwenye hasira za haraka mno, asiye wajibika kazini vilivyo na akapoteza mvuto wa dini.  Hali ya kimaadili vilevile ilipungua sana.  Alikufa baada ya miaka 13 ya ajali yake mbaya na wana sayansi walikuwa wanafanya uchunguzi kuhusu athari ya Phineas ya ubongo wake wa mbele.  Wame ng’amua mambo kadhaa.  Ubongo wa mbele unatawala hali ya mambo ya kiroho, tabia, maadili na nia.
Hivyo ni mulimu kuwa tuna chukua uangalizi mkubwa kuhusa ubongo wetu.  Wana sayansi nao wamegundua kuwa mtindo wa maisha una kitu unacho kitenda kwa afya ya ubongo.  Madawa ya kuleya, madawa ya kawaida, pombe, uvutaji na kafeini vyote hivi vimeonekana kuleta mvuto mbaya kwenye ubongo.  Pombe huharibu chembe chembe za ubongo ambazo kamwe haziwezi kubadiri shiwa zingine.  Kafeini hupatikana katika coca-cola na aina nyingine ya soda, baadhi ya madawa, kahawa, majani ya chai, na chocolate. 
                                                               

Sukari nyingi vilevile huinyang’anya afya nzuri ya ubongo.  Kiwango kikubwa cha sukari kwenye mlo imethibitika kuwa na madhara kwa ubongo wa mbele kiutendaji kwa watoto wa umri wa shule.  Hasa unapotumia kiwango kikubwa cha sukari, unapotumia vitu vyenye utamu kama, chocolate, keki, na kunywa soda kwa wingi.
Kuwa na afya na nguvu tunahitaji kula vyakula vya kawaida na vyenye afya.  Mlo wa hali ya juu mno umo katika jamii ya karanga, nafaka, mboga za majani na matunda.  Mungu ametuandalia vyakula hivi na vina virutubisho vyote tunavyo vihitaji ili kuwa wenye afya; tuhakikishe tunakula aina mbalimbali za vyakula vya afya.

Pia wana sayansi wamegundua matokeo mabaya ya television na music unao pitishwa haraka kwenye ubongo wa mbele (sehemu ya ubongo) kila kitu katika miili hutenda kwa mvumo. Tunapo usikiliza muziki ukiwa na mvumo wa haraka haraka au mvumo wa mara kwa mara hasa huharibu ubongo na kusababisha ugumu katika kujifunza.  Vilevile muziki huzingira hisia zetu na kuamsha kujisikia ambako hakutawaliwi kwa kufikiri kwanza au kujali maadili.  Ndiyo sababu ni muhimu kulinda akili zetu dhidi ya mambo ya kidunia na muziki wenye sauti nzito.

                            

Kitu kingine ambacho kina madhara mabaya katika ubongo wetu ni kutazama television (TV) – kutazama TV kwa muda mrefu kuna sababisha madhara ya maluweluwe kwenye ubongo wetu.  Hatu tendi (shughuliki) sana na mambo hati maye tunakuwa wazembefu katika kutenda.  Kwa kutazama mambo kwenye TV na kuto tenda na tunaiga hali hiyo ya kuto tenda hata kama jambo liko karibu hatuwezi kutenda hivyo.  Kutazama sana TV na sinema huchochea ndoto za mchana na fikra zisizo na maana kwa idadi kubwa ya watu.  Sinema na uharibifu vilevile huongezeka kwa ukatili na chuki kwa watoto. 

Tunawezaje kulinda ubongo wetu wa mbele?
1.  Jiepushe na kuharibiwa katika vitu vya ufundi mfano kama ajali.
2.  Dhibiti magonjwa yanayo weza kudhuru ubongo.
3.  Ruhusu hewa nyingi ya oksijeni kwenye damu – Mazoezi ya mwili.
4.  Jilishe kwa lishe nzuri – chakula kifacho.
5.  Pata mwanga wa jua vya kutosha.
6.  Uufanyizie mazoezi ubongo wako – kujifunza Biblia ni vema.
7.  Tawala kile unacho sikia na kuona.

                      


                

Comments

Popular posts from this blog

MAJINA YA WANAWAKE KATIKA BIBLIA ‘A’ HADI ‘Z’

MFANO WA MPANGO KAZI

SOMO: MADHARA YA KUKATAA KUMTII MUNGU